Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Wednesday 23 May 2018

KUTOKA BUNGENI JIJINI DODOMA LEO, MAMBO YA NJE YASOMA BAJETI YAKE

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dk, Augustine Mahiga akiwasilisha Bungeni Hotuba ya Bajeti ya Wizara yake kwa mwaka wa fedha wa 2018/2019 leo ambapo ameliomba Bunge kuidhinisha kiasi cha Shilingi 177,006,232,000 ambapo kati ya hizo Bilioni 154.810 ni kwaajili ya matumizi mengineyo, Bilioni 11,795 kwaajili ya Mishahara na Bilioni 10.4 kwaajili ya Maendeleo. 
Balozi Mahiga ameliomba Bunge kuidhinisha kiasi cha Shilingi 177,006,232,000 ambapo kati ya hizo Bilioni 154.810 ni kwaajili ya matumizi mengineyo, Bilioni 11,795 kwaajili ya Mishahara na Bilioni 10.4 kwaajili ya Maendeleo. 
 Mmoja wa wanafunzo wa Chuo cha Diplomasia akifuatilia hotuba hiyo ya Bajeti.
 Mbunge wa Handeni Vijijini, Mboni Mhita akizungumza Bungeni jijini Dodoma jana.
 Mbunge wa Kawe, Halima Mdee, akizungumza Bungeni jijini Dodoma wakati wa kipindi cha Maswali na Majibu.
 Waziri wa Katiba na Sheria, Prof. Palamagamba Kabudi akijibu maswali yaliyoelekezwa katika Wizara yake Bungeni jijini Dodoma leo.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dk.Augustine Mahiga akijadiliana jambo na Naibu Waziri wake, Dk.Suzan Kolimba Bungeni leo kabla ya kuanza kusoma Bajeti yao.
 Baadhi ya wageni kutoka Chuo cha Diplomasia na maeneo mengine wakifuatilia shughuli za Bunge jijini Dodoma leo. 
 Wabunge wakiwasindikiza Bungeni Wabunge, Steven Masele na Mboni Mhita ambao wamechaguliwa kuwa Viongozi katika Mabunge ya Afrika na Afrika Mashariki.

 Baadhi ya wageni kutoka Chuo cha Diplomasia na maeneo mengine wakifuatilia shughuli za Bunge jijini Dodoma leo. 
Baadhi ya wageni kutoka Chuo cha Diplomasia na maeneo mengine wakifuatilia shughuli za Bunge jijini Dodoma leo. 


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment