Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Wednesday 28 February 2018

TRENI YA ABIRIA DODOMA-KIGOMA KUPITIA TABORA YAPATA AJALI UVINZA

Treni ya abiria iliyokuwa safarini kutoka Dodoma kwenda Kigoma kupitia Tabora imepata ajali katika eneo la kijiji cha Mpeta, Wilayani Uvinza mkoani Kigoma hii leo baada ya kichwa kuacha njia na mabehewa mawili kuanguka.


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment