Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Monday 19 February 2018

MAKAMU WA RAIS AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI JIMBO LA BUSEGA


Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa mradi wa maji Kiloleli ambao utafaidisha vijiji vitatu, kulia ni Mbunge wa Jimbo la Busega Dkt. Raphael Chegeni.

Mbunge wa Jimbo la Busega Dkt. Raphaele Chegeni akimshukuru Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan baada ya kuweka jiwe la msingi kla mradi huo wa maji. katikati yao ni Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Anthony Mtaka.

Makamu wa Rais , Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi wa Masanza Kona, Kiloleli wilaya ya Busega mkoani Simiyu.

Mbunge wa Jimbo la Busega Dkt. Raphaele Chegeni akizungumza mbele ya Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan wakati wa kusalimia wananchi waliojitokeza kwa wingi barabarani eneo la Nyashimo kumsalimia Makamu wa Rais ambaye ameanza ziara ya siku tano mkoani Simiyu.


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment