Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Wednesday 28 February 2018

LUNDENGA AJITOA KUANDAA MISS TANZANIA

Mkurugenzi wa Kampuni ya Lino International Ageny, Hashim Lundenga akizungumza na waandishi wa Habari, Dar es Salaam leo ambapo alitangaza rasmi kampuni hiyo kujitoa katika uandaaji wa shindano Miss Tanzania  tangu Februari 2018. Katikati ni Mkurugenzi wa Kampuni ya The Look, Basila Mwanukuzi ambao ndio watakuwa waandaji wapya wa Miss Tanzania. Kulia ni Katibu Mkuu wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Godfrey Mwingereza.
Mashindano ya Miss Tanzania kuanzia sasa yatakuwa yakiandaliwa na Kampuni ya The Look Company Limited, inayoongozwa na Mwanadada Basila Mwanakuzi aliyepata kuwa Miss Tanzania 1998. 

 Kampuni ya Lino Intentional Agency Limited imekuwa waandaaji wa shindano la Miss Tanzania tangu mwaka 1994 na katika kipindi hicho inajivunia kutwaa taji la Miss World Africa 2005 kupitia Miss Tanzania 2005, Nancy Sumari


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment