Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Tuesday 12 September 2017

YALIYOJIRI BUNGENI MJINI DODOMA LEO

Mbunge wa Sengerema, Willium Ngeleja akizungumza jambo na Mbunge wa Muleba Kusini, Prof. Anna Tibaijuka nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana.

 Mbunge wa Kaliua, Magdalena Sakaya akifurahia jambo na Mbunge wa Kuteuliwa, Abdallah Bulembo nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma
Mbunge mteule wa Viti Maalum, CUF, Rehema Migilla akila kiapo cha Uaminifu mbele ya Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, Bungeni Mjini Dodoma jana.



Spika wa Bunge, Job Ndugai akizungumza Bungeni wakati akitoa maelekezo kwa kamati mbili za Bunge za Haki, Maadili na  madaraka ya Bunge inayoongozwa na George Mkuchika pamoja na ile ya Ulinzi na Usalama inayoongozwa na Adadi Rajab kuwaita haraka na kuwahoji Mbunge wa Kigoma Mjini, Kabwe Zitto na Mbunge wa Kinondoni, Saeed Kubenea kwa makosa tofauti. (Picha na Mroki Mroki).

 Wanafamilia na wanachama wa Chama cha CUF, waliomsindikiza Mbunga mpya wa Viti Maalum wa Chama hicho, Rehema Migilla wakimpongeza baada  ya Mbunge hiyo kula kiapo cha Umanifu Bungeni mjini Dodoma jana. Kulia ni Mbunge wa Kaliua, Magdalena Sakaya. (Picha zote na  Mroki Mroki).

 Mbunge wa Kaliua, Magdalena Sakaya akifurahia jambo na Mbunge wa Kuteuliwa, Abdallah Bulembo nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma
 Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), George Masaju akiwasilisha Bungeni mabadiliko ya miswada mbalimbali ya sheria.
 Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Jamhuri wakiwa Bungeni kwa ziara ya kimasomo.
 Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk. Medard Kalemani akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum, Risala Kabongo, Bungeni Mjini Dodoma.
  Wabunge wakiwa Bungeni mjini Dodoma katika kikao cha Bunge.
 Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Angelina Mabula akiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Yusuf Masauni wakiwasili Bungeni mjoni Dodoma.
Wabunge wakiwa Bungeni mjini Dodoma.
 Wabunge wa Grace Kiwelu (kushoto) wa Viti Maalum na Ester Matiko wa Tarime Mjini wakiwa Bungeni.
Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete akiwa Bungeni mjini Dodoma.
 Mbunge wa Segerea, Bonah Kaluwa akizungumza na Mbunge wa Mikumi, Jpseph Haule katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma.

 Wabunge wakiwa Bungeni mjini Dodoma katika kikao cha Bunge.


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment