Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Friday 2 February 2018

YALIYOJIRI BUNGENI LEO FEBRUARI 02, 2018

Wabunge Ruth Mollel, Mary Nagu na Angellina Malembeka wakiwasili bungeni kwa ajili ya kuhudhuria kikao cha Bunge, mjini Dodoma.
/Picha: Katuma Masamba-Daily News Digital

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega wakiwasili bungeni kwa ajili ya kuhudhuria kikao cha nne cha mkutano wa 10 wa Bunge unaoendelea mjini Dodoma.

Wabunge wakiwasili bungeni kwa ajili ya kuhudhuria kikao cha Bunge, mjini Dodoma.

Wabunge wakijadiliana wakati wa kikao cha Bunge mjini Dodoma

Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo akijibu swali bungeni, mjini Dodoma.


Wabunge wakijadiliana wakati wa kikao cha Bunge, mjin Dodoma.

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, TAMISEMI, George Kakunda akionesha kwa wabunge ramani ya matumizi ya serikali ya mkoani Dodoma, bungeni, jana.

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji akijibu swali bungeni.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu, Jenista Mhagama akimsikiliza Mbunge wa Bunda Mjini, Ester Bulaya  wakati wa kikao cha Bunge, mjini Dodoma.

Wanafunzi wa Chu cha Usimamizi wa Fedha (IFM) tawi la Mwanza waliotembelea Bunge, wakifuatilia mijadala ya wabunge.

Wabunge wakijadiliana wakati wa kikao cha Bunge.

Mbunge wa Misungwi, Charles Kitwanga na Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde wakifuatilia kikao cha Bunge, mjini Dodoma.

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Vijana, Anthony Mavunde akijibu swali bungeni.

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage akijibu swali bungeni. 














Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment