Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Monday 30 January 2017

TANZIA: MLINDA MLANGO DAVID BURHAN WA KAGERA SUGER AFARIKI DUNIA

 David Burhan enzi za uhaibwake akiwa mazoezini.
David Buruhan kipa wa Kagera Sugar na mtoto wa Mshambuliaji wa zamani wa PAN Abdallah Buruhan amefariki leo Januari 30,2017 katika Hospital ya Bugando Mwanza.

Burhan inadaiwa kua aliumwa ghafla wakiwa njiani kuelekea Singida kwenye mechi ya Azam Federation Cup. Na waliporudi Kagera hali yake ikazidi kuwa mbaya na hivyo kukimbizwa Bugando. 

Hii ni kwa mujibu wa Kocha wake Mecky aliyenipigia asubuhi hii.


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment