Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Tuesday 31 January 2017

WABUNGE WAPYA WANNE WALAKIAPO CHA UAMINIFU BUNGENI LEO

Mbunge wa kuteuliwa na Rais, Anne Kilango Malecela, akila kiapo cha uaminifu Bungeni mjini Dodoma leo. Jumla ya wabunge wanne walikula kiapo chao mbele ya Spika wa Bunge hii leo ambapo kati yao watatu ni wakuteuliwa na Rais na mmoja wa kuchaguliwa na wananchi kutoka jimbo la Dimani.
 Mbunge wa kuteuliwa na Rais, Alhaji Abdalah Bulembo, akila kiapo cha uaminifu Bungeni mjini Dodoma leo
 Mbunge wa kuteuliwa na Rais, Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi, akila kiapo cha uaminifu Bungeni mjini Dodoma leo
Mbunge wa jimbo la Dimani  Zanzibar, Juma Ali Juma akila kiapo cha uaminifu Bungeni mjini Dodoma leo
 Wabunge mbalimbali wakiingia Bungeni mjini Dodoma leo.
 Wabunge mbalimbali wakiingia Bungeni mjini Dodoma leo.


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment