Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Wednesday 8 March 2017

WEMA SEPETU AADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUPANDA MITI MILIMA YA ULUGURU

Miss Tanzania 2006 ambaye pia ni Mwigizaji wa Bongo Movie,  Wema Sepetu akizungumza kabla ya kupanda miti katika vyanzo vya maji vya Mbogo na Nukutu  katika milima ya Uluguru, mkoani Morogo leo. Kushoto ni Mbunge wa viti Maalum (Chadema) mkoa huo, Devotha Minja.
 Mbunge wa Viti Maalum (Chadema) Mkoa wa Morogoro, Devotha Minja akizungumza na wakazi wa Mbogo na Nukutu katika safu za milima ya Uluguru Mkoani Morogoro wakati wa upandaji miti.
Mbunge wa Viti Maalum (Chadema) Mkoa wa Morogoro, Devotha Minja akizungumza na wakazi wa Mbogo na Nukutu katika safu za milima ya Uluguru Mkoani Morogoro wakati wa upandaji miti.
Mbunge wa Viti Maalum (Chadema) Mkoa wa Morogoro, Devotha Minja (kulia) na Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu (wapili kushoto) wakipanda miti katika maeneo ya vyanzo vya maji  Mbogo na Nukutu katika milima ya Uluguru Mkoani Morogoro wakati wa upandaji miti.


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment