Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Sunday 29 January 2017

MWENYEKITI MPYA WA TUME YA UMOJA WA AFRIKA KUOATIKANANKESHO ADIS ABABA ETHIOPIA

Nani kukalia kiti cha Tume ya Umoja wa Afrika (AU)?

Swali hili litajibiwa Jumatatu, Januari 30, wakati wajumbe kutoka nchi wanachama 54 watakapoketi na kupiga kura.

 Morrocco nayo inataka uanachama wa AU na huenda kura yake ikawa na umuhimu katika kumchagua mwenyekiti mpya endapo itajumuishwa. 

Mwenyekiti anaemaliza muda wake ni Dr Nkosanzanz Dlamini Zuma, na tayari wagombea watano wameonesha nia ya kuitaka nafasi hiyo akiwepo Wazi wa Mambo ya Nje wa Kenya, Amina Mohamed.

Wengine walioweka wazi kuwania nafasi hiyo ni Mwanadiplomasia na msomi wa Senegali, Abdoulaye Bathily, Waziri wa Mambo ya Nje wa Chad, Moussa Faki Mahamat, Mwanasiasa mkongwe wa Botswana, Pelonomi Venson-Moitoi lakini pia yupo aliyekua mshauri wa Rais wa Guinea, Mba Mokuy.


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment