Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Wednesday 16 May 2018

DIS WATEMBELEA BUNGE KWA MAFUNZO

Wanafunzi wa shule ya Dar es Salaam Independent (DIS) ya Jijini Dar es Salaam wakiwa Bungeni Jijini Dodoma Mei 15,2018 kwa ziara maalum ya kimasomo. Wanafunzi hao wameapata fursa ya kufuatia Bunge katika kipindi cha maswali na majibu pamoja na kutembezwa na kupata maelezo kuhusiana na shughuli za Bunge. Picha: Mroki Mroki-Daily News Digital-Dodoma.
 Wakifuarahia nje ya Ukimbi wa Bunge jijini Dodoma.
Wanafunzi wa shule ya Dar es Salaam Independent (DIS) ya Jijini Dar es Salaam wakiwa Bungeni Jijini Dodoma Mei 15,2018 kwa ziara maalum ya kimasomo. Wanafunzi hao wameapata fursa ya kufuatia Bunge katika kipindi cha maswali na majibu pamoja na kutembezwa na kupata maelezo kuhusiana na shughuli za Bunge.

Wanafunzi wa shule ya Dar es Salaam Independent (DIS) ya Jijini Dar es Salaam wakiwa Bungeni Jijini Dodoma Mei 15,2018 kwa ziara maalum ya kimasomo. Wanafunzi hao wameapata fursa ya kufuatia Bunge katika kipindi cha maswali na majibu pamoja na kutembezwa na kupata maelezo kuhusiana na shughuli za Bunge.


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment