Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Wednesday 28 February 2018

RC MWANRI APOKEA VIFAA VYA UTUNZAJI MAZINGIRA

 Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri akizungumza mara baada ya kupokea vifaa mbalimbali vya thamani ya milioni 4.4 ambavyo vitasaidia katika kampeni ya uhifadhi mazingira na upandaji miti . Vifaa hivyo vimekabidhiwa jana na  Kampuni ya Alliance One Tobacco Tanzania Ltd.


Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri(mwenye koti  la bluu)  akipokea  vifaa mbalimbali vyenye thamani ya milioni 4.4 ambavyo vitasaidia katika kampeni ya uhifadhi mazingira na upandaji miti . Vifaa hivyo vimekabidhiwa jana na  Kampuni ya Alliance One Tobacco Tanzania Ltd.



Baadhi ya vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 4.4 vilivyotolewa jana na  Kampuni ya Alliance One Tobacco Tanzania Ltd kwa ajili ya kuunga mkono juhudi za Mkoa wa Tabora za kampeni yake ya kuhakikisha eneo hilo linakuwa la kijani kwa kupanda miti kwa wingi. Picha na Tiganya Vincent


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment