Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Monday 14 August 2017

TANESCO YAOMBA RADHI KUFUATIA KATIZO LA UMEME LILILOSABABISHWA NA HITILAFU KWENYE GRID YA TAIFA

TANESCO YAOMBA RADHI
Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) linawaomba radhi kwa Wateja wake waliounganishwa katika Gridi ya Taifa kwa katizo la umeme lililotokea majira ya Saa 7:32 Mchana.

Jitihada za kutatua tatizo hili zinaendelea,   hadi kufikia saa 8:00 mchana baadi ya Mikoa imeanza kupata umeme.

Taarifa rasmi kuhusu tatizo hilo itatoloewa pale uchunguzi wa tatizo  utakapo kamilika.

Kituo cha miito ya simu Makao Makuu 0222194400 na 0768 985100

Tovuti: www.tanesco.co.tz

Mitandao ya Kijamii
www.facebook/twitter.com/tanescoyetu
IMETOLEWA NA:- OFISI UA UHUSIANO
TANESCO MAKAO MAKUU


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment