Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Wednesday 31 January 2018

KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO

MBUNGE wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete akizungumza Bungeni Mjini Dodoma leo Januari 31,2018 wakati wa Mkutano wa 10 wa Bunge unaoendelea Mjini Dodoma. /Picha: Katuma Masamba-Daily News Digital.
 Mwenyekiti wa Bunge, Andrew Checke akiongoza Kakao cha Bunge Mini Dodoma leo.
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Anghelina Mabula akijibu maswali Bungeni mjini Dodoma leo. 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira Na Walemavu, Jenista Mhagama akizungumza jambo na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju Bungeni mjini Dodoma leo. 
 Mmoja tea wabunge akiuliza swali Bungeni mjini Dodoma leo.
 Naibu wa Waziri wva Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Yusuf Masauni akijibu maswali Bungeni mjini Dodoma leo. 

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Willium Ole Nasha, akijibu Maswali Bungeni Mjini Dodoma leo. 
 Wabunge wakifuatilia kikao cha Bunge Mini Dodoma leo. 
Wageni waliotembelea Bungeni Mini Dodoma leo wakiwa Bungeni


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment