Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
(kulia)leo 2 February 2017 akionyesha Kitabu cha Taarifa ya Kamati
inayoshughulikia Mgogoro wa Loliondo Kutoka kwa Mwenyekiti wa
Kamati amabye ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha Bwana Mrisho Gambo, Wanao
shuhudia Kutoka kushoto Kaimu Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya
Uhifadhi Tanzania Martine Loiboki, Mkuu wa Wilaya ya Loliondo
Rashid Taka, Mkurugenzi Mkuu Tanapa Allan Kijazi, Mkurugenzi Mkuu wa Wanyama
Pori Prof Alexander Songorwa, Mkurugenzi Mkuu wa Thomson Safari s
John Bearcroft , Naibu Waziri wa Kilimo na Mifugo Milian Ole Nasha (MB)
,Mwenyekiti wa CCM Arusha Lekule Laiser , Mkurugenzi wa Baraza la
Wafugaji Wanawake Bibi Maanda Ngoitika ,Kikao hicho cha Kukabidhi Tarifa
kimefanyika katika Ukumbi wa Mikutano Ofisi ya Waziri Mkuu Dodoma
Waziri Mkuu Kassi Majaliwa
akiwa katika kikao cha Wanakamati wanaoshugulikia Mgogoro wa Loliondo Kikao
hicho kimefanyika katika Ukumbi wa Mikutano Ofisi ya Waziri Mkuu Dodoma
Waziri Mkuu Kassim
Majaliwa akisikiliza Tarifa ya Mgogoro wa Loliondo
kutoka kwa Mwenyekiti wa kamati na Mkuu wa Mkoa wa Arusha , Bwana Mrisho
Gambo.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
(kulia) leo 2 February 2017 amepokea Taarifa ya Kamati inayoshughulikia
Mgogoro wa Loliondo Kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati amabye ni
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Bwana Mrisho Gambo, Wanao shuhudia Kutoka
kushoto Kaimu Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Uhifadhi Tanzania
Martine Loiboki, Mkuu wa Wilaya ya Loliondo Rashid Taka, Mkurugenzi
Mkuu Tanapa Allan Kijazi, Mkurugenzi Mkuu wa Wanyama Pori Prof
Alexander Songorwa, Mkurugenzi Mkuu wa Thomson Safari s John Bearcroft ,
Naibu Waziri wa Kilimo na Mifugo Milian Ole Nasha (MB) ,Mwenyekiti wa CCM
Arusha Lekule Laiser , Mkurugenzi wa Baraza la Wafugaji Wanawake
Bibi Maanda Ngoitika , Kikao hicho cha Kukabidhi Tarifa kimefanyika katika
Ukumbi wa Mikutano Ofisi ya Waziri Mkuu Dodoma
Kuna Maoni 0 mpaka sasa.
Post a Comment