Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Friday 28 July 2017

TBC KUZINDUA CHANNEL YA MASUALA YA UTALII MWEZI DESEMBA MWAKA HUU



MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Utangazaji (TBC), Dk. Ayoub Rioba amesema chaneli ya utalii itakayokuwa ikirushwa na televisheni hiyo itazinduliwa Desemba 30, mwaka huu.

Amesema chaneli hiyo itasaidia kukuza sekta ya utalii nchini kwa kuwa kila Mtanzania pamoja na wageni wengine wataweza kufahamu sekta ya utalii ya Tanzania kupitia chaneli hiyo.

"Tunatarajia kumaliza andiko Agosti 10 ambalo litaenda sambasamba na uombaji wa leseni ambao tunatarajia itakuwa Septemba 10," amesema Dk Rioba wakati akiwasilisha mada katika mkutano wa wahariri na wanahabari waandamizi wa masuala ya utalii unaofanyika mkoabi Tanga.
 
Mratibu wa Mradi wa Kupunguza Uzalishaji wa Hewa Ukaa kutokana na Ukataji na Uharibifu wa Misitu (MKUHUMI), Gerald Kamwenda akiwasilisha mada kuhusu hifadhi za mazingira asilia na mikakati ya utalii kwa wanahabari.
 Naibu Mkurugenzi wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), Tuma Abdallah akifuatilia mkutano huo unaoendelea na mkoani Tanga
 Waandishi mbalimbali wa habari nchini wakisikilza mada wakati wa mkutano wa Hifadhi za Taifa, Wahariri na Waandishi wa habari waandamizi nchini unaofanyika jijini Tanga.


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment