Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Friday 23 June 2017

SPIKA WA BUNGE NDUGAI AKABIDHI VITABU SEKONDARI ZA WILAYA YA KONGWA

 
Spika wa Bunge, Job Ndugai akimkabidhi vitabu Makamu Mkuu wa  Shule ya Sekondari Sejeli , Gerald Kagali ikiwa ni zawadi kwa Shule hiyo, Msaada uliotolewa na Mtandao wa kuondoa umasikini, tukio lililofanyika leo kijijini Mbande Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma. kushoto ni Mwenyekiti wa Mtandao huo,  Mungwe Athman
 Spika wa Binge, Job Ndugai (kushoto) akishuhudia Mwenyeti wa Mtandao wa kuondoa umasikini, Mungwe Athuman akimkabidhi kitabu Mwalimu mkuu wa  Shule ya sekondari Banyibanyi Mwl.Grace Mbise, Ktk tukio lililofanyika leo Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma.     kulia ni Meneja wa Mtandao huo Ndg. Peter Yobwa
Spika wa Bunge,Job Ndugai akizungumza na wanafunzi wa Shule Secondary Banyibanyi iliyopo wilaya ya Kongwa Mkoa wa Dodoma, baada ya kuwapatia vitabu vilivyotolewa na Mtandao wa kuondoa umasikini.
Spika wa Bunge , Job Ndugai akizungumza na wanafunzi wa Shule Secondary Banyibanyi iliyopo wilaya ya Kongwa Mkoa wa Dodoma, baada ya kuwapatia vitabu vilivyotolewa na Mtandao wa kuondoa umasikini.
Spikawa Bunge, Job Ndugai akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa Shule ya sekondari Banyibanyi, baada ya kuwakabidhi vitabu vilivyotolewa kwa msaada wa Mtandao wa kuondoa umasikini, tukio lililofanyika leo wilayani Kongwa Mkoa wa Dodoma.


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment