Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Friday 23 June 2017

RAIS WA PILI WA BOTSWANA SIR MASIRE AFARIKI DUNIA



RAIS wa pili wa Botswana Sir Kitemure Masire amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 91.

Kufuatia msiba huo, serikali ya Botswana imetangaza siku tatu za maombolezo ya kitaifa.

Sir Ketumile, aliongoza taifa hilo kuanzia 1980 hadi 1998, na amekuwa akisifika  kwa kuchangia kwa kiasi kikubwa katika kuweka msingi imara wa uthabiti wa kisiasa katika taifa hilo.

Pia alishiriki katika mikakati ya kufanikisha amani katika mataifa kadha Afrika, ikiwa ni pamoja na kumaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Msumbiji.

Botswana ni moja ya nchi tajiri na imara zaidi barani Afrika.

Sir Ketumile alichukua uongozi kufuatia kifo cha Rais wa kwanza wa Botswana baada ya uhuru Sir Seretse Khama mwaka 1980.


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment