Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Monday 22 January 2018

WANAFUNZI WA SHULE ZA SEKONDARI ZA NYAMIONGO, MWISENGE NA MAKOKO WAPATIWA ELIMU NA MAAFISA KUTOKA OFISI YA BUNGE

Mkurugenzi Msaidizi na Mratibu wa Dawati la Bunge la Afrika kutoka Ofisi ya Bunge, , Lawrence Makigi, akizungumza  jambo wakati akitoa Elimu kwa Shughuli Mbali mbali zinazofanywa na Bunge la Tanzania kwa Shule za Sekondari za Nyamiongo, Mwisenge na Mokoko ikiwa ni mwendelezo wa utoaji wa elimu kwa Shule za sekondari zilizopo Manispaa ya Musoma, katika tukio lililofanyika leo katika Shule ya Sekondari Mwisenge iliyopo Manispaa ya Musoma.
Wanafunzi wa Shule za Sekondari za Nyamiongo, Mwisenge na Mokoko zilizopo Manispaa ya Musoma wakimsikiliza Mkurugenzi Msaidizi na Mratibu wa Dawati la Bunge la Afrika kutoka Ofisi ya Bunge,  Lawrence Makigi akizungumza  wakati akitoa Elimu kwa Shughuli Mbali mbali zinazofanywa na Bunge la Tanzania ikiwa ni mwendelezo wa utoaji wa Elimu kwa Shule za Sekondari zilizopo Manispaa ya Musoma, katika tukio lililofanyika leo katika Shule ya Sekondari Mwisenge iliyopo Manispaa ya Musoma.
Afisa wa Bunge, kutoka Ofisi ya Bunge Dodoma,Bakari kishoma akizungumza  wakati akitoa Elimu kwa Shughuli Mbali mbali zinazofanywa na Bunge la Tanzania kwa Shule za Sekondari za Nyamiongo, Mwisenge na Mokoko ikiwa ni mwendelezo wa utoaji wa elimu kwa Shule za sekondari zilizopo Manispaa ya Musoma, katika tukio lililofanyika leo katika Shule ya Sekondari Mwisenge iliyopo Manispaa ya Musoma.


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment