Naibu Waziri Wizara ya Mambo
ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akizungumza na waandishi wa habari
(hawapo pichani), baada ya kufanya kikao na viongozi wa ngazi za juu wa Jeshi
la Polisi kuhusiana na uhalifu katika maeneo ya Kibiti,Mkuranga na Ikwiriri,mkoani
Pwani, ambapo alitangaza kutafutwa kwa watu 16 wanaotuhumiwa kuhusika na
uhalifu huo.
Naibu Waziri Wizara ya Mambo
ya Ndani y Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akizungumza na waandishi wa habari
(hawapo pichani), baada ya kufanya kikao na viongozi wa ngazi za juu wa Jeshi
la Polisi kuhusiana na uhalifu katika maeneo ya Kibiti,Mkuranga na Ikwiriri,mkoani
Pwani, ambapo alitangaza kutafutwa kwa watu 16 wanaotuhumiwa kuhusika na
uhalifu huo.Kulia ni Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini(IGP), Simon Sirro.Mkutano
huo umefanyika katika Ukumbi wa polisi makao makuu,jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Jeshi la Polisi
nchini(IGP), Simon Sirro, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani),
baada ya kufanya kikao kuhusiana na uhalifu katika maeneo ya Kibiti,Mkuranga na
Ikwiriri,mkoani Pwani, ambapo Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,
Mhandisi Hamad Masauni(kushoto),alitangaza kutafutwa kwa watu 16 wanaotuhumiwa
kuhusika na uhalifu huo.Mkutano huo umefanyika katika Ukumbi wa polisi makao
makuu,jijini Dar es Salaam.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Kuna Maoni 0 mpaka sasa.
Post a Comment