Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Friday 5 May 2017

WAZIRI MWAKYEMBE AWASILISHA BAJETI YA WIZARA YAKE BUNGENI LEO

Waziri wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe akiwasilisha taarifa ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya wizara yake kwa mwaka 2017/2018 Bungeni mjini Dodoma leo.
 Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya magazeti ya Serikali (TSN) Dk Jim Yonazi akifuatilia mijadala ya Bunge, Bungeni mjini Dodoma leo.
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Hbari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Elisante Ole Gabriel (kushoto mstari wa chini) na Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Nuru Millao kushoto kwake pamoja na watendaji mbalimbali wa Wizara hiyo wakifuatilia kwa makini mijadala ya Bunge mjini Dodoma jana
Rais wa Shirikisho la Soka nchini (TFF) Jamal Malinzi pamoja na wageni wengine wakifuatilia mijadala ya Bunge mjini Dodoma
Mbunge wa Kondoa Kusini, Juma Nkamia akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bungeni mjini Dodoma
Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ akilalamika baada ya kususia kuwasilisha hotuba ya bajeti ya wizara ya habari, utamaduni, sanaa na michezo ya kambi rasmi ya upinzani bungeni mjini Dodoma
Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Azzan ‘Zungu’ akimwelekeza jambo Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ baada ya kukiuka kanuni za Bunge wakati akiwasilisha hotuba ya bajeti ya wizara ya habari, utamaduni, sanaa na michezo ya kambi rasmi ya upinzani bungeni mjini Dodoma
Mnadhimu Mkuu wa Kambi rasmi ya upinzani Bungeni na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu akitoa ufafanuzi kwa Mwenyekiti wa Bunge baada ya Mbunge wa Mbeya Mjini na Waziri Kivuli wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ (kushoto) kukiuka kanuni na kususia kuwasilsiah hotuba ya bajeti ya kambi hiyo, Bungeni mjini Dodoma
Wabunge wa Upinzani wakifuatilia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ilipokuwa ikiwasilishwa na Waziri Dk Harrison Mwakyembe, Bungeni mjini Dodoma


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment