Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Tuesday 7 February 2017

WABUNGE WA UPINZANI WALIPOTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO

 
 Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT) Zitto Kabwe akizungumza na Wanahabari baada ya Wabunge wa Kambi ya Upinzani kutoka nje ya Bunge baada ya Naibu Spika wa Bunge kuamuru Mbunge wa jimbo la Serengeti Mkoa wa Mara, Marwa Ryoba (Chadema) kuamuriwa kutoka nje kufuatia kelele alizokuwa akipiga baada ya Naibu Spika kukataa Bunge kujadili mwongozo wa Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe aliyetaka ufafanuzi kuahusiana na kukamatwa kwa Wabunge wakiwa katika majukumu yao ya kazi za kibunge pasipo Ofisi ya Spika kujua.
 Wabunge wa Kambi ya Upinzani wakiinuka kutoka nje
 Wabunge wa Upinzani wakiwa nje ya Ukumbi wa Bunge
 Wabunge wa Upinzani wakiwa wamekusanyika nje
Eneo wanaloketi Wabunge wa Upinzani likiwa wazi ispokuwa kiti kimoja ambacho Mbunge wake hakutoka.


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment