Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Tuesday 17 January 2017

BREAKING NEWS!! RAIS MAGUFULI AMTEUA JAJI PROF IBRAHIM JUMA KUWA KAIMU JAJI MKUU

Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Jaji Mohamed Chande Othman 
 Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania, Jaji Prof. Ibrahim Juma 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 17 Januari, 2017 amemteua Mhe. Jaji Prof. Ibrahim Juma kuwa Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania.

Mhe. Jaji Prof. Ibrahim Juma anachukua nafasi ya Mhe. Jaji Mohamed Chande Othman ambaye amestaafu.

Kabla ya kuteuliwa kushika nafasi ya Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Jaji Prof. Ibrahim Juma alikuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaa Tanzania.

Mhe. Jaji Prof. Ibrahim Juma atakaimu nafasi ya Jaji Mkuu wa Tanzania mpaka hapo Mhe. Rais Magufuli atakapofanya uteuzi wa Jaji Mkuu wa Tanzania.


Uteuzi wa Mhe. Jaji Prof. Ibrahim Juma unaanza mara moja.


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment