Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Tuesday 31 October 2017

RAIS MAGUFULI AFUNGUA VIWANDA VIWILI MKOANI MWANZA LEO

 Rais Dkt. John Magufuli akizungumza na wananchi katika eneo la kona ya Butimba wakati akitokea Igogo jijini Mwanza.
Wananchi wa Butimba na Mkuyuni wakifurahi wakati Rais Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa akizungumza nao katika eneo la kona ya Butimba wakati akitokea Igogo jijini Mwanza.
Rais Dkt. John Magufuli akimpongeza Waziri wa Viwanda na Biashara Charles
Mwijage mara baada ya kufungua kiwanda cha Victoria molders and polybags
kilichopo Igogo jijini Mwanza.
Rais Dkt. John Magufuli akiwapungia mkono mafundi wa Kiwanda cha Victoria molders and polybags mara baada ya kutengeneza Tanki la kuhifadhia maji.
Rais  Dkt. John Magufuli akiangalia utengenezaji wa viti vya plastiki katika kiwanda cha Victoria molders and polybags katika eneo la Igogo jijini Mwanza.
 Rais Dkt. John  Magufuli akiangalia mfuniko uliotengenezwa katika kiwanda hicho cha Victoria molders and polybags Igogo jijini Mwanza.
 Rais Dkt. John  Magufuli akisalimiana na Meya ya jiji la Mwanza James Bwire mara baada ya kufungua kiwanda cha Victoria molders and polybags Igogo jijini Mwanza.
Rais Dkt. John  Magufuli akifungua kiwanda cha madawa cha Prince Pharmaceuticals kilichopo Buhongwa nje kidogo jijini Mwanza. PICHA NA
IKULU


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment