Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Monday 12 June 2017

MAJALIWA AWAVALISHA VYEO MAAFISA WA MAGEREZA KWA NIABA YA RAIS

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua gwaride katika hafla fupi ya  kuwavalisha Vyeo Maafisa Magereza kwenye uwanja wa Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji, Ukonga jijini Dar es salaam Juni 12, 2017. Mheshimiwa mahaliwa alimwakisha Rais John Pombe Mgufuli katika hafla hiyo.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimvalisha Jeremiah Nkondo kuwa Naibu Kamishina wa Magereza katika hafla fupi iliyofanyika kwenye uwanja wa Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji, Ukonga jijini Dar es salaam Juni 12, 2017. Mheshimiwa majaliwa alimwakilisha Rais John Pombe Magufuli katika hafla hiyo
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimvalisha cheo Tusekile Mwaisabila kuwa Naibu Kamishina wa Magereza katika hafla fupi iliyofanyika kwenye uwanja wa Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji, Ukonga jijini Dar es salaam Juni 12, 2017. Mheshimiwa majaliwa alimwakilisha Rais John Pombe Magufuli katika hafla hiyo
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimvalisha cheo, Afwililwe Mwakijungu kuwa Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Magereza katika    hafla fupi iliyofanyika kwenye uwanja wa Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji, Ukonga jijini Dar es salaam Juni 12, 2017. Mheshimiwa majaliwa alimwakilisha Rais John Pombe Magufuli katika hafla hiyo .
Manaibu Kamishina  wa Magereza wakisoma Tamko la Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi wa Umma baada ya kuvalishwa vyeo na Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa aktika hafla fupi  iliyofanyika kwenye uwanja wa Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji, Ukonga jijini Dar es salaam Juni 12, 2017. Mheshimiwa majaliwa alimwakilisha Rais John Pombe Magufuli katika hafla hiyo.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika hafla fupi ya kuvalisha vyeo Maafisa magereza  iliyofanyika kwenye uwanja wa Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji, Ukonga jijini Dar es salaam Juni 12, 2017. Mheshimiwa majaliwa alimwakilisha Rais John Pombe Magufuli katika hafla hiyo.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Maofisa magereza aliowavalisha Vyeo kwa Niaba ya Rais John Pombe Magufuli kwenye uwanja wa Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji, Ukonga jijini Dar es salaam Juni, 12, 2017.


2 comments:

  1. Nawapongeza kwa kupanda vyeo maafisa hao.Mmeongezewa sufuria LA ugali sasa kazi ni moja tu,CHAPA KAAAZI.Tumieni rasilimali watu mliyonayo magerezani kufanya kazi za kuinua uchumi WA Taifa letu.Zalisheni chakula cha kutosha kwa sababu watu mnao,ardhi mnayo na nguvu mnazo.
    Jengeni viwanda au ruhusuni watu wajenge viwanda kwenye maeneo yenu ili mkatoe wafanyakazi katika viwanda hivyo kwa kutumia watu mlio nao na mkazalishe Mali ghafi katika viwanda hivyo. Mfano kilimo cha miwa,matunda,mahindi nk pamoja na ufugaji.

    Kazi kwenu MAAFANDE KTK KULIJENGA TAIFA.

    ReplyDelete
  2. Nawapongeza kwa kupanda vyeo maafisa hao.Mmeongezewa sufuria LA ugali sasa kazi ni moja tu,CHAPA KAAAZI.Tumieni rasilimali watu mliyonayo magerezani kufanya kazi za kuinua uchumi WA Taifa letu.Zalisheni chakula cha kutosha kwa sababu watu mnao,ardhi mnayo na nguvu mnazo.
    Jengeni viwanda au ruhusuni watu wajenge viwanda kwenye maeneo yenu ili mkatoe wafanyakazi katika viwanda hivyo kwa kutumia watu mlio nao na mkazalishe Mali ghafi katika viwanda hivyo. Mfano kilimo cha miwa,matunda,mahindi nk pamoja na ufugaji.

    Kazi kwenu MAAFANDE KTK KULIJENGA TAIFA.

    ReplyDelete