Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Monday 22 May 2017

WANANCHI WANAOSUMBULIWA NA MARADHI NA KUKOSA FEDHA ZA MATIBABU KUTIBIWA BURE NA SERIKALI

Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto leo imetoa kauli Bungeni kuhusu Watanzania ambao wanasumbuliwa na maradhi mbalimbali lakini wameshiondwa kugharamia matibabu kutokana na kukosa fedha. Bofya link hapa chini kusikia alichokisea Naibu Waziri Dk Hamisi Kingwangala bungeni. 


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment