Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Sunday 28 May 2017

BARAZA KUU LA CHADEMA KATIKA PICHA

 MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendelea CHADEMA, Freeman Mbowe akifungua mkutano huo uliofanyika Mkoani Dodoma Mei 27,2017.
 Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk Vincent Mashinji akizungumza
 Meza kuu
 Mwenyekiti wa CHADEM, Freeman Mbowe akisoma taarifa za chama. 
Picha zote na Mroki Mroki.
 Wajumbe wa Baraza Kuu wakiwa katika Mkutano huo mjini Dodoma
 Wimbo wa Taifa uliimbwa
 Dua ilifanyika kabla ya kuanza mkutano huo.
 Wajumbe wakiwa mkutanoni
 Wajumbe ambao ni Wabunge wa Viti Maalum kutoka Mkoa wa Dodoma, Dk Immaculate Sware (kushoto) na Devotha Minja wa Morogoro.

Wajumbe wakifuatilia mkutano huo.


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment