Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Saturday 25 March 2017

MAKONTENA ZAIDI YA 260 YALIYONA MCHANGA WA DHAHABU YAKUTWA BANDARI KAVU YA MOFED JIJINI DAR

Na Fransisca Emmanuel
Mamlaka ya  Bandari Tanzania (TPA) imebaini makontena 262 ya mchanga wa dhahabu yaliyokuwa yamehifadhiwa katika bandari kavu ya MOFED inayosimamiwa na Zambia, iliyopo Kurasini jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa TPA, Deusdedit Kakoko alisema hayo leo alipotembelea bandari hiyo ambapo alibainisha kuwa makontena hayo yalikuwa tayari kwa ajili ya kusafirishwa.

Amesema mchanga huo umetoka Buzwagi ambao umechanganyika na dhahabu, rasilimali ya watanzania.


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment