Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Wednesday 29 March 2017

MAKONDA AHOJIWA NA KAMATI YA BUNGE YA HAKI,KINGA NA MADARAKA YA BUNGE HII LEO

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiwa mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Haki, <Maadili na Madaraka ya Bunge ambapo ilimwita kumhoji kisha ajibu tuhuma mbalimbali zinazo mkabili kiongozi huyo.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, George Simbachawene akiongoza kikao cha kamati hiyo kilichoketi hii leo mjini Dodoma kumhoji Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kufuatia tuhuma mbalimbali zilizokuwa zimewasilishwa na wabunge katika Bunge lililopita.


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment