Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Sunday 5 February 2017

MAADHIMISHO YA MIAKA 40 YA CCM KITAIFA DODOMA

 Katibu Mkuu wa CCM, Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akihutubia katika sherehe za Kilele cha Miaka 40 ya CCM mkoa wa Dodoma, zilizofanyika leo katika ukumbi wa CCM wa Dodoma Convertion Centre nje kidogo ya mji wa Dodoma.
 Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara Philip Mangula, akihutubia katika sherehe za Kilele cha Miaka 40 ya CCM mkoa wa Dodoma, zilizofanyika leo katika ukumbi wa CCM wa Dodoma Convertion Centre nje kidogo ya mji wa Dodoma. Kulia ni Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana
 Viongozi wakiwa meza kuu baada ya kuwasili ukumbini kuendelea na sherehe hizo
 Katibu Mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole akihamasisha katika sherehe za Kilele cha Miaka 40 ya CCM mkoa wa Dodoma, zilizofanyika leo katika ukumbi wa CCM wa Dodoma Convertion Centre nje kidogo ya mji wa Dodoma.
 Katibu Mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole akihamasisha katika sherehe za Kilele cha Miaka 40 ya CCM mkoa wa Dodoma, zilizofanyika leo katika ukumbi wa CCM wa Dodoma Convertion Centre nje kidogo ya mji wa Dodoma.
 Wanachama wa CCM wakiwa wamefurika ukumbini wakati wa sherehe hizo

 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akishauriana jambo na Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa wakati wa sherehe hizo leo katika ukumbi wa CCM wa Dodoma Convertion Centre nje kidogo ya mji wa Dodoma.
 Baadhi ya viongozi kwenye sherehe hizo
 Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa akisalimia wanacahama wa CCM wakati wa sherehe hizoleo katika ukumbi wa CCM wa Dodoma Convertion Centre nje kidogo ya mji wa Dodoma. BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment