Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Tuesday 2 May 2017

MAKALLA AWAONGOZA MBEYA KUTWAA KOMBE LA AMANI 2017

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ambaye ndiye Kocha Mchezaji wa Timu ya Viongozi wa Mkoa wa Mbeya akinyanyua juu kombe ka Amani, baada ya timu yake kuicharaza bila huruma timu ya viongozi wa dini Mkoa wa Mbeya kwa bao 4-1 katika Mchezo uliopigwa katika dimba la Uwanja Sokoine Mjini Mbeya siku ya Mei Mosi mwaka huu.
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ambae pia ni Kocha Mchezaji wa timu ya Viongozi wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla (kushoto) akiwania mpira na Mchezaji wa timu ya viongozi wa dini, Pastory John wakati wa mchezo wa kuwania kombe la Amani 2017 uliopigwa katika uwanja wa sokoine mjini Mbeya juzi.  Viongozi wa Mkoa wa Mbeya walishinda kwa bao 4-1 na kutwaa kombe hilo. (Picha na Daily News Blog).

 Mtanange huo ukiendelea
 Kocha Mchezaji wa Timu ya Viongozi wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla 'akificha' mpira wakati wa mchezo huo.
 Makalla akizungumza na waandishi wa habari baada ya mchezo huo.
 Mgenzi rasmi akisalimia timu zote mbili.
Mabingwa wa Kombe la Amani 2017 wakiwa na kombe lao.


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment