Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Friday 24 November 2017

MBUNGE GAMA AFARIKI DUNIA

MBUNGE wa jimbo la Songea mjini, Leonidas Gama amefariki Dunia. 

Taarifa kutoka Songea zinasema kuwa Gama amefikwa na umauti usiku wa kuamkia leo mkoani Songea katika Hospitali ya Peramiho ambako alilazwa kwa muda mfupi kufuatia maradhi ya kiharusi ambayo yalimpata juzi usiku akiwa nyumbani kwake huko Likuyu nabaadae kukimbizwa hospitali kwa matibabu.

Gama amewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Muheza, Nachingwea, Newala, Mbeya na Ilala. Vilevile amewahi kuwa mkuu wa mkoa Kilimanjaro.

Mungu ailaze roho ya Marehemu Mahali pema peponi.


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment