Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Thursday 8 June 2017

SERIKALI YAPIGA MARUFUKU USAFIRISHAJI WA MADINI MOJA KWA MOJA

SERIKALI imepiga marufuku usafirishaji wa madibni kutoka migodini na kupeleka moja kwa moja nje ya nchi na badala yake itaanzisha utaratibu ambao utahakikisha inapata mapato halisi. Anandika Katuma Masamba-dailynewstzonline.blog

Badala yake imesema itaanzisha maeneo maalumu (clearing houses) katika viwanja vya ndege vya kimataifa, migodini na kadhalika ambapo madini hayo yatapewa kibali cha kusafirisha madini hayo ambacho kitatozwa ada ya asilimia moja (clearence fee) ya thamani ya madini hayo.

Waziri wa Fedha na Mipango Dk, Philip Mpango akiwasilisha bajeti ya mwaka 2017/2018 amesema hatua hiyo itasaidia serikali kujua thamani halisi ya madini hayo na kukusanya mapato stahiki.


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment