Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Monday 1 May 2017

WAFANYAKAZI WA TSN WAUNGANA NA WENZAO DUNIANI KUADHIMISHA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI MEI MOSI

Wafanyakazi wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) wachapishaji wa Magazeti ya Daily News, Habarileo na Spotileo pamoja na Mitandao ya Kijamii ikiwepo Blog ya Dailynetzonline wakishiriki maandamano ya Mei Mosi katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo.
Wafanyakazi wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) wachapishaji wa Magazeti ya Daily News, Habarileo na Spotileo pamoja na Mitandao ya Kijamii ikiwepo Blog ya Dailynetzonline wakishiriki maandamano ya Mei Mosi katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo.
Wafanyakazi wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) wachapishaji wa Magazeti ya Daily News, Habarileo na Spotileo pamoja na Mitandao ya Kijamii ikiwepo Blog ya Dailynetzonline wakishiriki maandamano ya Mei Mosi katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo.
 Wafanyakazi kutoka taasisi mbalimbali za Serikali na Kampuni Binafsi wakiandamana katika Siku ya Mei Mosi leo
 
 Wafanyakazi wa Bandari Dar es Salaam wakiandamana
 Wafanyakazi wa Chuo cha Usimamizi wa fedha wakipiga picha ya pamoja baada ya maandamano.
 Wafanyakazi wa Songas wakiwa uwanjani leo
 Wafanyakazi wakiandamana


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment