Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Tuesday 25 April 2017

SIKIA WALICHOKISEMA CUF YA LIPUMBA HII LEO KUHUSIANA NA VURUGU ZA HIVI KARIBUNI

Mkurugenzi wa Habari wa Chama cha Wananchi (CUF), Abdul Kambaya akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusu vurugu za chama hicho zilizotokea hivi karibuni zilizosababisha baadhi ya waandishi wa habari na watu wengine kujeruhiwa. Wengine ni Mkurugenzi wa Ulinzi wa chama hicho, Masoud Mhina, Mkurugenzi wa Mipango na Uchaguzi wa CUF, Jafari Mneke (kulia kwake) na Mkurugenzi wa Wanawake wa chama hicho, Salama Masudi (kushoto). (Picha na Fadhili Akida). 


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment