Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Friday 25 May 2018

MAKONGORO APEWA KAZI CCM PIA YUPO PINDA


 Makongoro Nyerere
Mizengo Pinda
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. John Pombe Magufuli leo Mei 25, 2018 amewateua Ndg. Mizengo Kayanza Peter Pinda (Waziri Mkuu Mstaafu) na Ndg. Makongoro Nyerere kuwa wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC).

Ndg. Magufuli amefanya uteuzi huo kwa kutumia mamlaka aliyonayo kwa  mujibu wa katiba ya CCM toleo la mwaka 2017.

Majina ya wateule hao yatawasilishwa katika kikao cha NEC kitakachofanyika Mei 28, 2018 Jijini Dar es Salaam.


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment