Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Dailynews Blog.





Nafasi Ya Matangazo

Thursday 14 September 2017

MATUKIO YA PICHA KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA

 Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini, Stephen Masele (kulia) akiwa na Mgeni wake ambaye ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya UBA ,Peter Makau alipotembelea Bungin jini Dodoma September 13,2017.
 Mbunge wa Newala Mjini, Capt Mstaafu. George Mkuchika (kushoto) akiteta jambo na Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete Bungeni Mjini Dodoma.
 Mbunge wa Morogoro Mjini, Abdulaziz Abood (kushoto) akizungumza na wabunge wenzake Bungeni Mjini Dodoma.
 Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango akizungumza na Mbunge wa Kibaha Mjini, Silvestry Koka nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma.
 Wabunge wanawake wakitoka Bungeni Mjini Dodoma walipohudhuria Kikao cha Bunge.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenister Mhagama akifurahia jambo na Mbunge wa Kinondoni, Maulid  Mtulia
 Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango (kushoto) akizungumza na Mbunge wa jimbo la Mpendae,Salim Hassan Turky, Bungeni Mjini Dodoma.
 Naibu Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson akiongozwa kutoka nje ya Bunge baada ya kuahirisha kikao cha Bunge mjini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Job Ndugai akizungumza Bungeni.
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Anastazia Wambura akijibu maswali Bungeni Mjini Dodoma.


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Post a Comment